Friday, March 7, 2014

starsTimu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kurejea nchini kesho (Machi 7 mwaka huu) kutoka Windhoek, Namibia kwenye mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA.
Taarifa ilitotumwa na msemaji wa wa TFF, Boniface Wambura inasema kuwa stars itatu uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) saa 12;45 jioni badala ya muda uliotajwa awali ambao ulikuwa saa 8:15 mchana.
Taifa stars ambayo katika mechi hiyo dhidi ya Namibia (Brave Warriors) ilitoka sare ya bao 1-1 itatua itawasili kwa ndege ya South Africa Airways.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video