Monday, March 10, 2014


TOUT Puissant Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imefuzu Hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuitoa 
Astres Douala ya Cameroon kwa jumla ya mabao 4-1.
Baada ya sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza mjini Douala wiki iliyopita, Mazembe inayojivunia washambuliaji wawili Watanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu jana imeshinda 3-0 nyumbani Lubumbashi. 
Mbwana Samatta ataendelea kufanya vitu Ligi ya Mabingwa baada ya Mazembe kusonga mbele leo

Shukrani kwao wafungaji wa mabao hayo, Said Coulibaly dakika ya 31, Jonathan Bolingi dakika ya 38 na Given Singuluma dakika ya 50.
CHANZO: BIN ZUBEIRY

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video