Thursday, March 6, 2014

Mjumbe wa Bunge maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Monduli Edward Lowassa (Kushoto) akimweleza jambo mjumbe mwenzie Bw. Saleh Pamba baada ya Bunge hilo kuahirishwa, leo Mjini Dodoma

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Mansoor Hiran akiongea na wanahabari baada ya Semina ya ya uundwaji wa kanuni zitakazoongoza bunge maalum la katiba kuahirishwa leo mjini Dodoma.

Baadhi wa wajumbe maalum wa katiba wakibadilishana Mawazo Nje ya ukumbi wa Bunge baada ya Semina ya ya uundwaji wa kanuni zitakazoongoza bunge maalum la katiba kuahirishwa leo mjini Dodoma.
Posted By Blogger to THE GOVERNMENT OFFICIAL BLOG

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video