Tuesday, March 11, 2014


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
0712461976 au 0764302956
BEKI wa FC Barcelona , Javier Mascherano amekiri kuwa mshambuliaji hatari wa Manchester City, Sergio Kun Aguero atakuwa hatari zaidi katika mchezo wa marudiano hapo a kesho ligi ya mabingwa barani ulaya (UEFA Champions League) katika dimba la Nou Camp ambapo Man City watahitaji kufuta kipigo cha mabao 2-0 walichopata katika mchezo wa kwanza nyumbani kwao, Etihad jijini Manchester.
City tayari wameshafika mchana wa leo nchini Hispania  wakiwa na mlima mrefu wa kupanda kufuatia kupoteza mchezo wa kwanza nyumbani wiki tatu zilizopita.
Lakini mchezaji wa huyo wa zamani wa Liverpool, Mascherano aliwaambia waandishi wa habari katika mazoezi ya Barcelona wakati wa chakula cha mchana kuwa Aguero anaweza kubadili hali ya mambo katika mchezo wa marudiano hapo kesho endapo atapewa nafasi.
Honest: Javier Mascherano admits he is concerned about the threat posed by Sergio Aguero
 Mkweli: Javier Mascherano amekiri kumhofia  Sergio Aguero
Final touches: Lionel Messi and his Barcelona team-mates train to prepare for Manchester City
 Maandalizi ya mwisho: Lionel Messi  na wachezaji wenzake wakiwa mazoezini kujiandaa dhidi ya  Manchester City
Centre stage: Neymar will hope to make an impact against Manchester City at the Nou Camp
Neymar anatarajia kuonesha makali yake dhidi ya  Manchester City  katika dimba la  Nou Camp kesho usiku
Mascherano alisema: “namjua Aguero vizuri na kwa maoni yangu ni moja kati ya washambuliaji bora watano duniani”.
“Ni mchezaji mkubwa na amepewa uwezo mkubwa, hivyo anaweza kuwa hatari sana kucheza naye”.
“Tutajitahidi kumkaba sana na kutokumpa nafasi kadri itakavyowezekana. Tutajaribu kutomuacha acheze kwa kujiachia”.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video