Wednesday, March 12, 2014


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
0712461976 au 0764302956
ASERNAL usiku huu wametupwa nje ya ligi yamabingwa barani Ulaya baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 mechi ya marudiano na mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Bayern Munich,  uwanja wa Allianz Arena nchini Ujerumani.
Mechi ya kwanza wakiwa nyumbani kwao Emirates,  Asernal walilala kwa mabao 2-0, hivyo matokeo ya leo yanawafanya watolewe kwa wastani wa mabao 3-1.
Msimu uliopita, Asernal walifungwa mabao 3-1 na walipoenda Allianz Arena walishinda 2-0, lakini msimu huu wa UEFA umekuwa majanga baada ya kutoka sare usiku huu.
Bayern walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza dakika ya 55 kupitia kwa kiungo wake, Bastian Schweinsteiger aliyepewa pasi na winga hatari wa klabu hiyo, Mfaransa Frank Ribery.
Ilibaki kidogo Asernal watolewa kwa wastani wa mabao 3-0, lakini alikuwa ni Lukas Podolski katika dakika ya 57 aliyesawazisha bao hilo.
Mambo yalienda kombo zaidi kwa washika bunduki baada ya mwamuzi kuwazawadia penati wenyeji, lakini bahati ikawa kwao baada ya Thomas Muller kukosa penati hiyo dakika ya 90.
Nao AC Milan wametolewa katika michuano hiyo kufuatia kipigo `kitakatifu` cha mabao 4-1 kutoka kwa Atletico Madrid, hivyo kutupwa nje kwa mabao 5-2 kwani walifungwa kwao bao 1-0.
Matokeo ya mechi za leo yako hivi;
International: Champions League Final Stages
 
  
Finished
 
 Atletico Madrid 
 
4-1
 
 AC Milan 
 
(2-1)    
  
Finished
 
 Bayern Munich 
 
1-1
 
 Arsenal 
Progressing together: Bayern players celebrate as a team after going ahead on the night at the AllianzWamefuzu: Wachezaji wa  Bayern wakishangilia ushindi wao uliowapeleka hatua ya robi fainali usiku huu Allianz Arena
Chane: Lukas Podolski is congratulated by Alex Oxlade-Chamberlain after scoring the equaliser on the nightSafi mwana!: Lukas Podolski akipongezwa na Alex Oxlade-Chamberlain baada ya kuisawazishia Asernal usiku huu 
One up: Bastian Schweinsteiger wheels away in celebration after putting Bayern ahead on the night
 Kimoja tu: Bastian Schweinsteiger  akishangilia baada ya kuifungia Bayern bao la kuongoza
Slotted home: Schweinsteiger scores the opening goal of the night after 54 minutes
 Schweinsteiger akifunga bao lake
Just in time: Lukas Fabianski made the save to his right from Thomas Muller's injury-time penalty, then switched to jump to his left to stop the German again
 Amekosa: Lukas Fabianski akiokoa penati ya Thomas Muller dakika za lala salama
To the faithful: Bayern gesture to their fans after the 1-1 draw on the night
 Uaminifu : Bayern wakiwashukuru mashabiki wao baada ya sare ya leo usiku

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video