Friday, December 13, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sporstmail
Tel: o712461976 au 0764302956
MSHAMBULIAJI hatari wa mabingwa watetezi wa ligi kuu soka nchini England, klabu ya Manchester United, Robin van Persie atakaa nje ya uwanja kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na matatizo ya mguu.
Mholanzi huyo aliumia mguu akipiga mpira wa kona uliozaa bao wakati wa mechi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya jumanne ya wiki hii dhidi ya  Shakhtar Donetsk ambapo Man United walishinda bao 1-0 na sasa atakaa nje ya dimba mpaka mwaka mpya.
Habari hizo zimemchefua na kumvuruga kabisa kocha wa Man United, David Moyes ambaye anapigana kuepukana na kipigo cha tatu mfululizo ndani ya miaka 11 kwani Jumapili anajiandaa kuvaana na Aston Villa.
Plenty of time for these: Robin van Persie was seen picking up a takeaway in Alderley Edge on ThursdayMuda mwingi nje ya dimba: Robin van Persie alionekana akiwa amebaba mapochopocho jana  maeneo ya  Alderley Edge akielekea masikani yake
Quick dash: Van Persie returns to his car after picking up some lunch in the small Cheshire villageHapa home tu: Van Persie akirudi katika gari lake baada ya kununua chakula cha mchana katika kijiji kidogo cha Cheshire 
Out: Dutchman van Persie has been ruled out for up to four weeks with a thigh injuryNje: Mholanzi, van Persie atakaa nje ya uwanja kwa wiki nne kufuatia kupata majeruhi ya mguu
Van Persie atakaso mechi zifuatazo wakati huu
Aston Villa (A), Dec 15, Premier League
Stoke (A), Dec 18, kombe la ligi
West Ham (H), Dec 21, Ligi kuu
Hull (A), Dec 26, Ligi kuu
Norwich (A), Dec 28, Ligi kuu
Tottenham (H), Jan 1, Ligi kuu
Swansea (H), Jan 5, kombe la  FA 
Swansea (H), Jan 11, Ligi kuu
Moyes alisema : ‘Robin Van Persie atakaa nje ya uwanja kwa mwezi mmoja`.
‘Aliumia wakati akipiga mpira wa kona iliyozaa bao.’
Moyes aliongeza:  `Ni bahati mbaya sana kwetu kwasababu ukiangalia rekodi yetu tunapokuwa na  Wayne Rooney na  Robin timu kiukweli infanya vizuri sana na ikumbukwe hatujawa nao kwa muda sasa.
‘Marouane Fellaini naye ana maamivu kidogo ya mgongo`.
‘Michael Carrick  hayupo na  Robin atakaa nje ya uwanja kwa wiki nne kutokana na matatizo ya mguu. Hilo ni balaa sana kwetu.’
Tough going: The news is a blow for David Moyes ahead of the trip to Aston Villa on SundaySafari ngumu: Kuna janga lingine kwa David Moyes akijianda kuwafuata  Aston Villa keshokutwa jumapili

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video