Saturday, December 14, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sporstmail
Tel: 0712461976 au 0764302956
KOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers anafikiria kumvika heshima ya unahodha nyota wake Luis Suarez wakati huu ambao nahodha wake  Steven Gerrard yuko nje ya uwanja.
Gerrard anatarajia kukosa mechi nne zijazo kutokana na majeruhi ya nyama ya paja- na anatarajiwa kurudi uwanjani katika hatua ya tatu ya kombe la FA.
Hata hivyo, Rogers ana wachezaji wengi wa kucheza katika mchezo wao wa kesho dhidi ya Tottenham na mechi nyingine, ingawa kumkosa Gerrard ni pigo kwake.
Daniel Agger aliteuliwa kuwa nahodha msaidizi majira ya kiangazi na anaweza kuchukua nafasi hiyo endapo atakuwepo kwenye mchezo wa kesho baada ya kukosa mechi ya wikiendi iliyopita kwa matatizo ya kuumwa ambapo walishinda mabao 4-1 dhidi ya West Ham.
Skipper: Luis Suarez (above) could be given the Liverpool captaincy in Steven Gerrard's absenceNahodha?: Luis Suarez (juu) anaweza kupewa unahodha wakati huu ambao nahodha Steven Gerrard huyupo
Missing: Gerrard (right) is set to be out for six weeks with a hamstring injuryWamemkosa: Gerrard (kulia) atakaa nje ya uwanja kwa wiki sita kutokana na majeruhi ya nyama za paja
Lakini  Agger amekuwa akisumbuliwa sana na majeruhi msimu huu na sasa Rodgers anafikiria kumpa majukumu Suarez. Mshambuliaji huyo amekuwa na kiwango kizuri sana katika michezo 10 aliyocheza.
Meneja wa Liverpool alionesha nia hiyo jana baada ya kuulizwa nani atakuwa nahodha.
Kama nyota huyo raia wa Uruguay atapewa nafasi hiyo, itamuongezea nguvu zaidi na kupunguza sinema ya yeye kuondoka Anfield majira ya joto mwakani.
Alipoulizwa kama anamfikiria Suarez katika nafasi hiyo muhimu, Rodgers alijibu; `Ndiyo, nafikiria sana- tena kwa asilimia 150″.
Star man: Suarez (centre) has been in scintillating form for Liverpool and has scored 15 Premier League goalsNyota:  Suarez (katikati) amekuwa katika kiwango kikubwa akiwa na Liverpool na mpaka sasa amefunga mabao 15 katika michuano ya ligi kuu
Backing: Brendan Rodgers (above) believes Suarez is more than ready to take the Liverpool captaincyDaaah!: Brendan Rodgers (juu) anaamini  Suarez anaweza zaidi ya kawaidia kuwa nahodha wa Liverpool
Leader: Suarez (above) is under pressure to perform with both Gerrard and Daniel Sturridge injuredKiongozi: Suarez (juu) yupo kwenye presha kubwa kuongoza klabu yake wakati huu ambao Gerrard na Daniel Sturridge ni majeruhi
 Kuelekea mchezo wa kesho, Lewis Holtby amesisitiza kuwa ni muda mwafaka kwa Tottenham kujipima wenyewe kwa Liverpool.
Mchezo wa kesho endapo Spurs watashinda watafikisha pointi sawa na vijana wa Rodgers.
Holtby, 23, anaamini Spurs wamerudisha morali ya ushindi na kilichobaki ni kudhihirisha hilo hapo kesho kwenye mchezo dhidi ya timu kubwa ya Liverpool.
Kiungo huyo alisema: “Tumerudi katika hali yetu baada ya kipigo kibaya cha 6-0 kutoka kwa Manchester City na nadhani tumejiamini tena na tunaweza kucheza vizuri mbele ya timu nzuri ya Liverpool”.
“Tunatakiwa kucheza mpira wa kushambulia na tunatakiwa kuonesha katika mchezo mkubwa wa kesho, hususani tukiwa nyumbani”.
Aliongeza kuwa ni juu yao kuhimili presha hii kubwa.
Confident: Lewis Holtby believes his Tottenham side are ready to prove themselves against LiverpoolWamejiamini: Lewis Holtby anaamini Tottenham wapo tayari kudhihirisha uwezo wao hapo kesho dhidi ya  Liverpool
Wakati huo huo ratiba ya ligi kuu nchini England ni kama ifuatavyo
Leo jumamosi Desemba 14
 Manchester City
-
Arsenal 
 
     
  
14/12 18:00
 
 West Ham
-
Sunderland 
 
     
  
14/12 18:00
 
 Newcastle United
-
Southampton 
 
     
  
14/12 18:00
 
 Everton
-
Fulham 
 
     
  
14/12 18:00
 
 Chelsea
-
Crystal Palace 
 
     
  
14/12 18:00
 
 Cardiff
-
West Bromwich Albion 
 
     
  
14/12 20:30
 
 Hull
-
Stoke 
Kesho Jumapili Desemba 15
 England: Premier League
 
 
 
15/12 16:30
 
 Aston Villa
-
Manchester United
 
     
 
15/12 16:30
 
 Norwich
-
Swansea
 
     
 
15/12 19:00
 
 Tottenham
-
Liverpool

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video