Thursday, December 26, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
Tel: 0712461976 au 0764302956
MABINGWA wa ligi kuu soka nchini England, Manchester United wameonywa kuwa mchezaji chaguo la kwanza la kocha David Moyes katika usajili wa dirisha dogo januari mwakani, Marco Reus atawagharimu mpaka pauni milioni 40.
Kiungo Reus ana thamani ya pauni milioni 29.4 ili kumnunua katika mkataba wake katika klabu ya  Borussia Dortmund.
Lakini inafahamika kuwa mambo yamebadilika tangu Bayern Munich kuonesha nia ya kumsajili kama walivyofanya kumnunua Mario Gotze  majira ya kiangaza ya usajili mwaka huu.
It'll cost you! Borussia Dortmund have slapped a £40m price tag on Marco Reus, who is wanted by Manchester United in the January transfer windowItawagharimu sana! Borussia Dortmund wametangaza dau la pauni milioni 40 kumnunua kiungo wao  Marco Reus, ambaye anawindwa na  Manchester United katika dirisha dogo la usajili januari mwakani
World class: United would have to break their transfer record to sign the talented Reus, whom manager David Moyes has identified as a key target to galvanise their midfieldMchezaji Kiwango: United wanatakiwa kuvunja benki ili kuvunja rekodi ya usajili kwa mchezaji mwenye kipaji kikubwa Reus, ambaye kocha David Moyes amesema nidye mchezaji pekee aliyemuona kuwa muhimu zaidi kuimarisha safu yake ya kiungo.
Mabingwa hao wa EPL sasa watatakiwa kuvunja rekodi yao ya usajili ili kumnasa nyota huyo mwenye umri wa miaka 24.
United wanataka wachezaji wa kiwango cha juu katika nafasi zote kikosini.
Japokuwa sehemu ya kiungo ndio imepewa kiapumbele, pia wako makini kuangalia washambuliaji, beki wa kushoto na beki wa kati kwa mipango ya baadaye kwani Patrice Evra na Rio Ferdinand wanaelekea kumaliza mikataba yao mwishoni mwa msimu huu na klabu haitaki kuwaongezea.
Nearing the end? United have started the search for Patrice Evra's replacementAnakwisha? United wameanza kutafuta mbadala wa Patrice Evra
 Mabingwa hao wa EPL wana pesa za kutosha, walijiandaa kupambana na Real Madrid kujaribu kumsajili Gareth Bale majira ya kiangazi mwaka huu, lakini nyota huyo wa Whales aliamua kwenda Hispania.
Shida kubwa katika dirisha dogo la usajili januari mwakani sio fedha kwa Man United, ukweli ni kwamba wachezaji wengi wanaowataka wapo na timu zao zinazoshiriki ligi ya mabingwa barani Ulaya, hivyo klabu hizo zinakuwa ngumu kuwaachia wachezaji wao muhimu kikosini.
Shopping spree: David Moyes is expected to conduct a fair bit of transfer business in the January window as United seek to recover from an indifferent first half of the seasonAnaingia sokoni: David Moyes anatarajia kusajili wachezaji wakali katika dirisha dogo la usajili mwezi januari mwakani ili kurejesha makali ya Man United tofauti na hali ngumu waliyoipata mzunguko huu wa kwanza  unaoelekea ukiongoni.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video