Sunday, December 29, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail, soccerstand na suppersport.com
Tel: 0712461976 au 0764302956
MSHAMBULIAJI Danny Welbeck  ametokea benchi na kuipa Manchester United bao muhimu la ushindi dhidi ya  Norwich leo hii.
Bao hilo pekee lilifungwa na Webeck katika dakika ya 57 akipokea pasi nzuri kutoka kwa mashambuliaji mwenza, Javier Hernandez maarufu kwa jina la Chicharito.
Man United iliwakosa washambuliaji wake muhimu, Wayne Mark Rooney ambaye hakusafiri na timu kuwafuata Norfolk kutokana na majeruhi. Pia  Robin van Persie aliendelea kukosekana, hivyo kipindi chote cha kwanza walikuwa butu mpaka mwokozi Welbeck alipoingia kipindi cha pili.
Katika mchezo mwingine muhimu ulikuwa baina ya Manchester City dhidi ya Crystal Palace katika dimba la Etihad na kushuhudia City wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 na kukalia usukani wa EPL kwa saa wakisubiri matokeo ya mechi ya kesho.
Goal! Danny Welbeck scored soon after coming on to win the game for Manchester United Goooo! Danny Welbeck ametokea benchi na kuipa Manchester United bao la ushindi
Ahead: The United striker rounds John Ruddy before sliding the ball into the netKazi tu!: Mshambuliaji wa  United, Welbeck akimlamba chenga mlinda mlango  John Ruddy kabla ya kuzamisha mpira nyavuniRelief: Welbeck and his team-mates celebrate the winning goalWamepumua!: Welbeck na wachezaji wenzake wakishangilia bao la ushindi
Baada ya matokeo ya leo, msimamo wa ligi kuu unakuwa kama ifuatavyo, huku mechi za kesho zikisubiriwa;
PosTeamPWDLGFGAGDPts
1Manchester City19132454213341
2Arsenal18123336181839
3Chelsea18114333181537
4Liverpool18113443212236
5Everton1897229171234
6Manchester United19104532221034
7Newcastle United1810352923633
8Tottenham Hotspur189451924-531
9Southampton187652518727
10Hull City196582223-123
11Swansea City195682425-121
12Stoke City185671826-821
13Aston Villa195591825-720
14Norwich City1954101632-1619
15West Bromwich Albion193972227-518
16Cardiff City194691530-1518
17Crystal Palace1951131228-1616
18Fulham1951131941-2216
19West Ham United1936101828-1015
20Sunderland1935111532-1714
Bao la ushindi lililowafanya Manchester City wabarizi kileleni kwa saa lilifungwa na Edin Dzeko dakika 66 akipokea pasi kutoka kwa Jesus Navas.
Easy does it: Manchester City striker Edin Dzeko sweeps the ball past Julian Speroni to give his side the lead against Crystal PalaceKazi rahisi tu: Mshambuliaji wa Manchester City, Edin Dzeko akifunga bao la ushindi dhidi ya Crystal Palace
Man of the moment: Dzeko (right) celebrates his goal as Palace's players look on in frustration after conceding  Dzeko (kulia) akishangilia bao lake, huku wachezaji wa Palace wakiduwaa 
Relief: Dzeko is congratulated by Alvaro Negredo (left) after breaking the deadlock at the Etihad StadiumTumepumua jamani!: Dzeko akipongezwa  na Alvaro Negredo (kushoto) baada ya kuvunja ngome ngumu leo hii katika dimba la Etihad
MATOKEO YA MECHI ZA LEO NI KAMA IFUATAVYO;
  
Finished
 
 West Ham
3-3
West Bromwich Albion 
 
(1-2)    
  
Finished
 
 Aston Villa
1-1
Swansea 
 
(1-1)    
  
Finished
 
 Hull
6-0
Fulham 
 
(0-0)    
  
Finished
 
 Norwich
0-1
Manchester United 
 
(0-0)    
  
Finished
 
 Manchester City
1-0
Crystal Palace 
 
(0-0)    
  
Finished
 
 Cardiff
2-2
Sunderland 
Manchester City wamefikisha pointi 41 kileleni, lakini yawezekana wamekaa kwa saa kadhaa kwani Arsenal ambao wapo nafasi ya pili na pointi 39 watacheza kesho dhidi ya Newcastle United.
RATIBA NI KAMA YA MECHI ZA KESHO NI IFUATAVYO;
 
 
29/12 16:30
 
 Newcastle United
-
Arsenal
 
     
 
29/12 16:30
 
 Everton
-
Southampton
 
     
 
29/12 19:00
 
 Tottenham
-
Stoke
 
     
 
29/12 19:00
 
 Chelsea
-
Liverpool

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video