Monday, December 16, 2013


MSHAMBULIAJI wa Liverpool , Luis Suarez ameongeza presha zaidi kwa kocha Andre Villas-Boas baada ya kufunga mabao mawili katika ushinidi  5-0 dhidi ya  Tottenham .
Mabao ya Liverpool leo hii yamefungwa na  Suarez  dakika ya 18, Henderson dakika ya 40, Flanagan dakika ya 75, Suarez tena katika dakika ya 84, na Sterling alihitimisha karamu ya maboa dakika 89.
Suarez aliyevishwa kitambaa cha unahodha alifanya kazi kubwa katika ushinid huo na kuwafanya mashabiki wa Tottenham wawe na presha kubwa na wengi wao waliondoka mapema na kuwaacha wenzao wachache wakikaa hadi dakika za mwisho.
Safu ya ulinzi ya Spurs ilionekana kuwa dhaifu zaidi mbele ya washambuliaji wa Liverpool na matokeo ya leo yanamuweka kitimoto kocha Villas-Boas, hasa baada ya kupoteza mchezo mwingine kwa kipigo cha mbwa mwizi kutoka kwa wapinzania wao Manchester City wiki chache zilizobaki.
Delight: Luis Suarez, captain for the day, celebrates giving Liverpool the perfect startJembe: Luis Suarez, nahodha wa leo akishangilia bao lake baada ya Liverpool kuanza vyema katika mchezo wa leo 
MSIMAMO
  •  TeamPGDPts
    1Arsenal161635
    2Liverpool162133
    3Chelsea161433
    4Manchester City162932
    5Everton161231
    6Newcastle United16-127
    7Tottenham Hotspur16-627
    8Manchester United16625
    9Southampton16524
    10Swansea City16120
    11Aston Villa16-519
    12Hull City16-619
    13Stoke City16-518
    14Norwich City16-1418
    15Cardiff City16-1017
    16West Bromwich Albion16-515
    17West Ham United16-614
    18Crystal Palace16-1313
    19Fulham16-1513
    20Sunderland16-189
MATOKEO YA MECHI ZA JANA 
 England: Premier League
 
 
 
Finished
 
 Aston Villa
0-3
Manchester United
 
(0-2)    
 
Finished
 
 Norwich
1-1
Swansea
 
(1-1)    
 
Finished
 
 Tottenham
0-5
Liverpool

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video