Monday, December 9, 2013

13Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye treni huku akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam Ramadhan Madabida katika kituo kikuu cha reli ya TAZARA leo asubuhi jijini Dar es salaam wakati alipowasili akitoka kwenye ziara yake ya kikazi ya mikoa mitatu ya Ruvuma, Mbeya na Njombe akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa na mbunge wa kuteuliwa pamja na jopo la waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliokuwa katika ziara hiyo.(PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)14Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akissalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam Ndugu Ramadhan Madabida, wanaoshuka kwenye treni ni Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa na mbunge wa kuteuliwa na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi mara baada ya kuwasili na treni ya TAZARA leo asubuhi.17Abdulrahmani Kinana akivishwa skafu na vijana wa CCM19Akeielekea eneo lililoandaliwa kwa mapokezi21Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam Ramadhan Madabida akielezea machache juu ya mafanikio ya ziara hiyo.22Kinana akisalimiana na wana CCM mbalimbali waliofika kumpokea kituo kikuu cha TAZARA.23Kinana akizungumza na wana CCM waliokuja kumpokea yeye na msafara wake na kuwashukuru.24Nape Nnauye akitoa shukurani zake kwa waandishi wa habari na vyombo mbalimbali vilivyofanya kazi ya kutangaza ziara hiyo kushoto ni Ndugu Abdulrahman Kinana Katibu Mkuu wa CCM.11Kinana akiwa amejichanganya na wananchi katika kituo cha treni la TAZARA cha Mlimba mkoani Morogoro jana akiwa njiani kurejea Dar es salaam.12Wanahabari waliokuwa kwenye msafara wa katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman kinana wakipiga picha ya pamoja mara baada ya kuwasili jijini Dar es salaam leo asubuhi.
1Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana, Dr. Asha Rose Migiro katikati na Nape Nnauye wakishuka kwenye treni mara baada ya kusimama kwa muda katika kituo cha Mlimba mkoani Morogoro kwa ajili ya kuzungumza kidogo na wananchi.3Abdulrahman kinana akilakiwa na viongozi wa CCM kata ya Mlimba 5Abdulrahman Kinana akinawa mikoni kituoni hapo6Kinana na ujumbe wake wakielekea katika jengo la abiria kituoni hapo7Hapa akizungumza na mmoja wa wachuuzi wa samaki kituoni hapo.8Nape nnauye akichagua samaki, kulia anayeangalia ni Dr. Asha Rose Migiro9Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman kinana akizungumza na mkuu wa kituo cha Polisi TAZARA Mlimba ACP Boniface Haule wakati alipofika kituoni hapo na kuongea na wasafiri mbalimbali akisafuiri na treni hiyo kuelekea Dar es salaam. 11Kinana akijichanganya na wananchi katika kituo cha Mlimba Mkoani Morogoro.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video