
Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Istiqaama English Medium and Primary School ya Sumbawanga Amr Said akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza katika mahafali hayo. Katika risala iliyosomwa kwa Mgeni Rasmi ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Alhaj Salum Mohammed Chima Shule hiyo ilianza rasmi Januari mwaka huu 2013 ikiwa na wanafunzi 48 na hidi hivi sasa ina wanafunzi 6. Shule hiyo inayoendeshwa na taasisi ya kidini ya ISTIQAAMA ina mpango wa kujenga shule ya msingi katika kipindi cha mwaka 2014-2017 na shule ya Sekondari katika kipindi cha mwaka 2018-2021.

(Na Hamza Temba – Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Rukwa @Rukwareview.blogspot.com)
0 comments:
Post a Comment