Thursday, December 26, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail na Suppersport.com
Tel:0712461976 au 0764302956
Alvaro Negredo ameifungia Manchester City bao la ushindi usiku huu  dhidi ya Liverpool na kuendeleza ubabe wao katika dimba la Etihad.
Liverpool ambao wamekuwa wapinzani wa Man City nafasi za juu katika msimamo wa ligi kuu nchini England msimu huu walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza dakika ya 24 kupitia kwa  Philippe Coutinho akipokea pasi nzuri kutoka kwa Raheem Sterling.
Lakini wenyeji walijibu mapigo katika dakika ya 31 baada ya beki wa kati na nahodha wa Man City, Vincent Kompany kuunganisha mpira wa kona uliochongwa Mhispania David Sliva.
Sherehe ya ushindi kwa City ilikuja dakika ya 45 baada ya mshambuliaji hatari Alvaro Negredo kufunga bao la pili kufuatia kazi nzuri ya Jesus Navas.
Huwezi amini mpaka saa 12 kasorobo jioni ya leo, Liverpool walikuwa kileleni mwa EPL, hivi sasa ni saa nne usiku wameporomoka mpaka nafasi ya nne katika msimamo na Arsenal wakirudi kileleni kama kawaida.
Kali zaidi wiki ijayo, Liverpool wataingia kwenye kibarua kizito dhidi ya vijana wa Jose Mourinho, klabu ya Chelsea ya London.
Baada ya mechi za leo, timu tano za juu ni kama ifuatavyo;
PosTeamPWDLGFGAGDPts
1Arsenal18123336181839
2Manchester City18122453213238
3Chelsea18114333181537
4Liverpool18113443212236
5Everton189722917123
City slicker: Alvaro Negredo (right) celebrates after scoring the decisive goal for Manchester CityRaha duniani: Alvaro Negredo (kulia) akishangilia bao lake la ushindi kwa klabu yake ya Manchester City
Kikosi cha Man City usiku huu: Hart 7, Zabaleta 6, Kompany 7, Lescott 7, Kolarov 5, Y Toure 6, Fernandinho 7, Navas 8, Silva 7 (Garcia, 86), Nasri 6 (Milner 71, 6), Negredo 8 (Dzeko 76).
Kikosi cha Liverpool: Mignolet 6, Johnson 6, Sakho 7, Skrtel 6, Cissokho 5; Lucas 6 (Aspas, 81), Sterling 7, Henderson 7, Allen 6, Coutinho 6 (Moses, 67), Suarez 7.
Strike: Negredo lifts the ball over the oncoming Simon Mignolet, who made a hash of his attempted saveShambulizi: Negredo akipiga mpira wakati Simon Mignolet  akijaribu kuokoa
Flapping: Mignolet waves the ball into the net as Negredo (left) begins to celebrateManyoya: Mignolet akijaribu kuokoa mpira uliotinga wavuni, huku Negredo (kushoto) akianza kushangilia
Jumping for joy: Samir Nasri (right) can't contain his delight as Mignolet is on his kneesAkiruka kwa furaha: Samir Nasri (kulia)  akionesha furaha yake wakati kipa Mignolet akiwa amejipigia magoti kuugulia maumovu ya goli hilo
He knows what he's done: Mignolet is crestfallen after his error, which led to Negredo's goalAnajua alichofanya: Mignolet  akijutia makosa yake yaliyosababisha Negredo afunge bao zuri na la ushindi
Down and out: Negredo lies on the turf clutching his leg and eventually is replaced by Edin DzekoChini na alitoka nje: Negredo akiwa amelala chini akiugulia maumivu ya mguu na alitolewa nje huku nafasi yake ikienda kwa mshambuliaji mwingine Edin Dzeko
Good Kompany: City captain Vincent Kompany (second left) rises to head the home side's equaliser Kompany Mzuri: Nahodha wa City , Vincent Kompany (wa pili kushoto) akiruka juu na kupiga kichwa mpira uliozaa bao la kusawazisha 
Roar talent: Kompany (centre) screams with delight after heading City levelKipaji cha juu: Kompany (katikati) akishangilia bao lake na wachezaji wenzake
Tussle: Joleon Lescott (left) and Luis Suarez grapple for possession of the ballHuendi mzee:  Joleon Lescott (kushoto) na  Luis Suarez wakigombania mpira
Trying to get away: Suarez attempts to break clear of Lescott with Yaya Toure (centre) trailingAnajiribu kutafuta njia: Suarez akijaribu kupasua njia pembeni ya  Lescott  huku  Yaya Toure (katikati) akiunga `traila`
Doubling up: Jesus Navas (left) and Pablo Zabaleta (right) combine to stop Aly CissokhoWawili jamani!: Jesus Navas (kushoto) na Pablo Zabaleta (kulia) wakiungana kumzuia Aly Cissokho

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video