Friday, November 22, 2013

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akihutubia wageni waalikwa hawapo pichani wakati wa hafla ya kuzindua Bodi mpya ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) jana jijini Dar es Salaam. BS2 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akiteta jambo na Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa Prof. Penina Mlama(kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya BASATA jana jijini Dar es Salaam .
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wa pili kushoto akipokea zawadi ya picha za Tingatinga kutoka kwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa Prof. Penina Mlama wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Basata.Kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermans Mwansoko na wa mwisho kulia ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Basata Bwana Gedfrey Mngereza.  BS4 
Mzee Jangala mwenye Kibaraghashee akifuatilia hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Basata jana jijini Dar es Salaam. BS5 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara ( waliokaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Basata mara baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo jana jijini Dar es Salaam. BS6 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa BASATA alipo kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya BASATA jana jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Frank Shija – WHVUM
22 Nov 2013

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video