Saturday, November 23, 2013

IMG_0199 
Balozi wa China nchini Lu Youing (wa kwanza kwenye mstari) akisalimiana na Kiongozi wa msafara wa wajumbe 85 kutoka Serikali za Mitaa za China, Makamu Gavana  wa Jimbo la Shandong  Xia  Geng kwenye  Uwanja  wa Ndege wa Kimataifa jijini Dares Salaam Ujumbe huo  umehusisha,  magavana, mameya na wafanyabiashara ambao wamewasili nchini leo mchana kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika masuala ya Serikali za Mitaa, biashara na uchumi. IMG_0200 
Waziri wa Nchi Ofisi wa Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Hawa Ghasia  (wa pili kwenye mstari) akisalimiana na Kiongozi wa msafara wa wajumbe  85 kutoka Serikali za Mitaa za China, Makamu Gavana  wa Jimbo la Shandong  Xia  Geng kwenye  Uwanja  wa Ndege wa Kimataifa jijini Dares Salaam.Ujumbe huo  umehusisha,  magavana, mameya na wafanyabiashara ambao wamewasili nchini kwa ziara ya leo mchana kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika masuala ya Serikali za Mitaa, biashara na uchumi. IMG_0218 
Waziri wa Nchi Ofisi wa Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Hawa Ghasia  (kulia )akizungumza jambo na Kiongozi wa msafara wa wajumbe  85 kutoka Serikali za Mitaa za China, Makamu Gavana  wa Jimbo la Shandong  Xia  Geng(katikati) kwenye  Uwanja  wa Ndege wa Kimataifa jijini Dares Salaam.Ujumbe huo umehusisha, magavana, mameya na wafanyabiashara ambao wamewasili nchini  leo mchana kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika masuala ya Serikali za Mitaa, biashara na uchumi. IMG_0233 
Balozi wa China nchini Lu Youing akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dares Salaam, Said Mecky Sadick. IMG_0246 IMG_0248 IMG_0249 IMG_0250 
Baadhi ya ujumbe wa watu 85 kutoka Serikali za Mitaa za China,.Ujumbe huo  umehusisha,  magavana, mameya na wafanyabiashara ambao wamewasili nchini  leo mchana kwa lengo la kudumisha ushirikiano katika masuala ya Serikali za Mitaa, biashara na uchumi.
Picha na Magreth Kinabo – Maelezo.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video