Friday, November 22, 2013


1- ndege ikiandaliwaNdege bandia ikitayarishwa  kwa zoezi la kuzima moto wa ndege uliofanyika tarehe 21, Nov, 2013 kwenye eneo maalumu lililotengwa kwaajili ya zoezi hili  jijini Dar es Salaam. 2- ndege bandia ikizimwa
5- majeruhi akikimbizwa hospitalini-1Baadhi ya Askari  wahitimu wa Jeshi la zimamoto nchini wakifanya zoezi la kumkimbiza majeruhi   kumpeleka hospitali baada ya kumuokoa kwenye ajali.zoezi hilo limeshuhudiwa na mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh.Dkt.Emannuel Nchimbi.(hayupo katika picha) Nov.21,2013 jijini Dar es Salaam.9-kikosi kikipinda mbele ya mgeni rasmi- (hayupo pichani)-1 
Kikosi cha Askari wa Jeshi la zima moto waliomaliza mafunzo ya kuzima moto wa ndege wakipita mbele ya mgeni rasmi (hayupo katika picha) Mh, Dkt, Emmanuel Nchimbi, Nov, 21,2013, Wahitimu hao katika risala yao  wamesema   kwamba wamepata uelewa mkubwa  utakaowawezesh a kufanya  majukumu yao    10- Protacy Lichenjele akipongezwaWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Dkt. Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimpongeza  Protacy Lichenjele(kulia)  baada ya kumkabidhi cheti cha uaminifu,kwani kitendo cha  askari huyo kurudisha fedha baada ya kugundua amezidishiwa ni kitendo chenye kuhitaji moyo na uzalendo wa kuigwa! (21 Nov, 2013) 
12-  nchimbi (kulia) na Kamishna Generali wa Jeshi la zimamomto Piusi Nyambache wakopongezana 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Dkt. Emmanuel Nchimbi(kulia) akipongezana na  Kamishna Generali wa Jeshi la Zimamoto nchini  Piusi Nyambacha (kushoto) baada ya kumalizika hafla ya  kozi ya zoezi la kuzima moto wa ndege kwa askari wa jeshi la  zima moto. Nov.21,2013 jijini Dar es Salaam.
Picha zote  na MWANAKOMBO JUMAA

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video