




Kikosi
cha Askari wa Jeshi la zima moto waliomaliza mafunzo ya kuzima moto wa
ndege wakipita mbele ya mgeni rasmi (hayupo katika picha) Mh, Dkt,
Emmanuel Nchimbi, Nov, 21,2013, Wahitimu hao katika risala yao
wamesema kwamba wamepata uelewa mkubwa utakaowawezesh a kufanya
majukumu yao
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Dkt. Emmanuel Nchimbi (kushoto)
akimpongeza Protacy Lichenjele(kulia) baada ya kumkabidhi cheti cha
uaminifu,kwani kitendo cha askari huyo kurudisha fedha baada ya
kugundua amezidishiwa ni kitendo chenye kuhitaji moyo na uzalendo wa
kuigwa! (21 Nov, 2013)

Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Dkt. Emmanuel Nchimbi(kulia) akipongezana
na Kamishna Generali wa Jeshi la Zimamoto nchini Piusi Nyambacha
(kushoto) baada ya kumalizika hafla ya kozi ya zoezi la kuzima moto wa
ndege kwa askari wa jeshi la zima moto. Nov.21,2013 jijini Dar es
Salaam.
Picha zote na MWANAKOMBO JUMAA
0 comments:
Post a Comment