TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA NDUGU ALLY .O. CHITANDA
MWENYEKITI CHADEMA MKOA LINDI, MJUMBE BARAZA KUU TAIFA NA MKUTANO MKUU. KATIBU OFISI YA KATIBU MKUU WA CHAMA MAKAO MAKAUU
NDG: WANA HABARI:
Kwanza kabisa ninawashukuru kwa kuitika wito wangu.
Jina langu naitwa ALLY OMARY CHITANDA,nimejiunga CHADEMA mwaka 2003 nikitokea NCCR –MAGEUZI.
Nyadhifa nilizowahi kuzishika na kukitumikia Chama ni:
Kuanzia
mwaka 2004- Mjumbe wa Baraza kuu Taifa nikiwakilisha vijana Bara
niliendelea kuaminiwa na Chama na kupewa kazi nyingine za kukitumikia
Chama, nimewahi kuwa Afisa wa Vijana Makao Makuu, Afisa wa sheria na
Haki za binadamu Makao Makuu, Katibu wa Kamati ya muda ya Baraza la
Vijana Taifa (BAVICHA) kwa sasa ni Mjumbe wa Mkutano Taifa nawakilisha
Nachingwea, Mwenyekiti wa Mkoa wa Lindi tangu tarehe 26/05/2013.Pia ni Afisa Mwandamizi Ofisi ya Katibu Mkuu Makao makuu Dsm.
vile vile kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikifanya shuhuli ya uandishi wa kumbukumbu za sekretarieti ya chama kama KATIBU WA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU.
Hivyo
sasa, pamoja na mambo mengine yapo masuala nyeti na muhimu
ninayoyafahamu na ikibidi kuwaarifu watanzania kwa njia mbali mbali
pindi itakaponihitaji kufanya hivyo.
Ndugu
zangu wanahabari, nimewaita ili kupitia nyinyi niwaambie Watanzania
wenzaqngu juu ya hali ya kisiasa ilivyo hasa ndani ya Chama chetu.
Itakumbukwa kuwa tarehe 20-21/11/2013 Kamati kuu ya Chama ilikaa pamoja
na mambo mengine ilifanya maazimio ya kuwavua nafasi za Uongozi ndani ya
Chama alikuwa Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Mhe. ZITTO KABWE na
Mjumbe wa Kamati kuu wa kuchaguliwa Mhe. Dr. FITILA MKUMBO, kwa kile
kilichoelezwa kuwa ni kwa sababu:-
0 comments:
Post a Comment