Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakilakiwa na
mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik(kushoto) muda mfupi baada
ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaaam. leo jioni.Rais Kikwete amerejea
nchini akitokea Warsaw Poland ambapo alihudhuria mkutano wa Mabadiliko
ya Tabia nchi Duniani na awali wiki iliyopita alikuwa nchini Srilanka
kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Madola.(picha na
Freddy Maro)
Home
»
»Unlabelled
» Mkuu wa nchi, Rais Dkt. Kikwete arejea nchini akitokea Poland
Saturday, November 23, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment