
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisaidiana na fundi katika
kukamilisha hatua za mwisho za upigaji lipu wa wa jengo la maabara la
shule ya Sekondari ya kata ya Mgomba iliyopo wilayani Tunduru.






Ofisi ya Kata ya Jakika jimbo la Tunduru Kaskazini ambayo imefunguliwa rasmi na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.










Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipiga kinanda wakati wanakwaya wa kikundi cha Kihuma wakitumbuiza .






Mbunge
wa Tunduru Kaskazini Ndugu Ramo Matala akihutubia wakazi wa Tunduru na
kuwaambia taratibu za kuuza zao la korosho kwa pesa taslimu pia namna
anavyosaidia shule na wananchi wakawaida wakiwemo walemavu ambao
alikabidhi baiskeli zao, vifaa vya michezo na kusaidia boda boda kupata
leseni.
0 comments:
Post a Comment