Friday, October 4, 2013


IMG_0007
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu   (wapili kushoto) wakizungungumza na Kiongozi wa Kikundi cha Hifadhi ya Misitu na Ufugaji nyuki cha Kambi ya Nduta  wilayani Kibondo wakiwa  katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 3, 2013.  Kulia ni Mkuu  wa mkoa huo, Luteni Kanali Issa machibya   na watatu kulia ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyarandu. (Pich na Ofisi  ya Waziri Mkuu)IMG_0058Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitundika mzinga wa nyuki wakati   alipotembelea kikundi cha hifadhi ya misitu na ufugaji nyuki cha Kambi ya Nduta wilayani Kibondo  akiwa katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 3, 3013.  Kulia ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0107Waziri Mkuu, Mizengo Pinda   akiagana na  na viongozi wa Kikundi cha Hifadhi ya Misitu na Ufugaji nyuki cha Kambi ya Nduta  wilayani Kibondo   baada ya   kukagua miradi ya kikundi hicho  akiwa  katika ziara ya mkoa wa Kigoma Oktoba 3, 2013.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)IMG_0151Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na wananchi baada ya kakagua  bwawa la Umwagiliaji la Nyendara  wilayani Kibondo  akiwa katika ziara ya  mkoa wa Kigoma Oktoba  3, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri kuu)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video