Wednesday, October 2, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
KOCHA wa Washika bunduki wa kaskazini mwa London, klabu ya Asernal, Mfaransa, Arsene Wenger amesifu kuwasili kwa Mjerumani Mesut Ozil na kusema kuwa kumuongezea imani kubwa baada ya kumtazama nyota huyo katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya Napoli jana usiku ambapo Gunners walishinda mabao 2-0 Emirates.
Katika mchezo wa jana, Ozil alimalizia krosi ya Aaron Ramsey  na kuandika bao la kuongoza na alitoa pasi ya bao la pili la Olivier Giroud .
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24 na aliyeongoza kushangilia na  Giroud baada ya kipenga cha mwisho, alijiunga na Arsenal akitokea Real Madrid kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 43 majira ya kiangazi mwaka huu na Wenger amejisifu kwa mafanikio hayo.
Behind the scenes: Olivier Giroud and Mesut Ozil celebrate in the dressing room after Arsenal's victory Nyuma ya pazia: Olivier Giroud na Mesut Ozil akishangilia katika chumba cha kuvalia nguo baada ya ushindi wa jana
Joining the party: Mikel Arteta, Lukas Podolski, Per Mertesacker and Santi Cazorla pose with Giroud and Ozil Kajiunga na sherhe: Mikel Arteta, Lukas Podolski, Per Mertesacker na Santi Cazorla wakipozi na akina Giroud na Ozil
Too hot to handle: Mesut Ozil (centre) celebrates the opening goal with his Arsenal team-matesKazi nzito kumzuia: Mesut Ozil (katikati) akishangilia bao la kwanza na wachezaji wenzak
I know you: Wenger and Rafa Benitez shake hands before kick-off, but the match turned sour for the Napoli bossNakujua sana: Wenger na Rafa Benitez wakisalimiana kabla ya kuanza kwa kipute hicho, lakini mechi iligeuka kuwa chungu kwa bosi wa Napoli

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video