Tuesday, October 1, 2013

Waziri Mkuu akiwapungia wananchi wa Kigoma  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku sita  mkoani humo Oktoba 1, 2013.Kulia kwake ni mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa mkoa huo, Luteni Kanali, Issa Machibya . Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Kigoma, Dokta W. Kaborou.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa kamati  ya Ulinzi na Usalama  ya Mkoa wa Kigoma baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku sita Oktoba 1, 2013(picha na Ofisi ya waziri Mkuu) IMG_0486 Wanawake  wa Kigoma wakicheza ngoma wakati  Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipowasili  kwenye uwanja  wa ndege wa Kigoma  kwa ziara ya siku sita Oktoba 1, 2013.  (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video