Friday, October 18, 2013

DSC_1840
 MPAMBANO wa masumbwi uliokuwa ukutanishe kati ya Bondia Kalama Nyilawila na Sado Philemon  uliokuwa uchezwe Oktoba 20 jumapili katika uwanja wa CCM Mwijuma Mwananyamala umeahirishwa kutokana na kupisha mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga utakaofanyika katika uwanja wa taifa
Akizungumza  mratibu wa mpambano huo Ibrahim Kamwe ‘amesema mpambano huo umeahirihwa kwa muda kupisha mchezo wa Simba na Yanga kwa kuwa mashabiki wa mpira ndio hao hao mashabiki wa mchezo wa masumbwi hivyo kwa sasa mpambano huo utafanyika Novemba 3 katika ukumbi uho huo.
Mwaite Juma na Shadrack Ignas , nae bingwa wa zamani wa Bantam  Ajibu Salum atapimana ubavu na Martin Richard,huku  Mbena Rajab akizipiga na Godwin Mawe, Ibrahim Class ‘King Class Mawe ‘ atazichapa na Rashid Ali, Hassan Kiwale (Moro Best) na Harman Richrd, Kasim Chuma na Shaban Manjoly, mdogo wake Francis Miyeyusho  Yona miyeyusho  atacheza na julias Thomas, Abdalla ruwanje na Bakari Zoro, na kutakuwepo na pambano la kitaa kwa mbabe wa Mwananyamala sokoni  Joseph Stanslaus(Amita au Jose Mawe) na mbabe wa Manzese sokoni  Shaban Seif(Body Kitongoji) pambano linalotarajiwa kuwa na  vituko  kwa mabondia hao, Nae  Yasin Omari  atazichapa na Innocent Gabriel pamoja na mapambano  mengine kadhaa ya vijana wadogo wenye vipaji  vya mchezo wa ngumi.
Mapambano haya yote yameandaliwa na Ibrahim Kamwe wa Bigright Promotion  kwa kusindikiza pambano la ISSA OMAR(Peche Boy) atakaezipiga  na  ATHONY MATHIAS katika pambano la ound nane na SADO PHILEMON    atazipiga na KARAMA NYILAWILA katika uzito wa middle kutafuta mshindi  wa atayepigana na Thomas Mashali katika pambano la ubingwa.
Kwa ufupi mabondia wote wapo katika hali nzuri na wametakiwa kuendelea na mazoezi kwa ajili ya mapambano hayo yatakaofanyika mwanzoni mwa mwezi ujao katika ukumbi wa CCM Mwinjuma Mwananyamala A

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video