Friday, October 18, 2013

images
Na Lorietha Laurence-Maelezo
……………………………………………
NAIBU  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Pereira Silima atafungua kikao cha bajeti ya shirika la Magereza kwa mwaka wa fedha2013/2014 Oktoba 21 mwaka huu  mjini Morogoro.
Kikao hicho  kitashirikisha wajumbe 94 wakiwemo maafisa waandamizi kutoka makao makuu ya Jeshi la Magereza,Wakuu wa Miradi ya Magereza na wasimamizi wa miradi hiyo.
Katika kikao hicho wajumbe watajadili  taarifa za utekelezaji wa bajeti iliyopita ya mwaka wa fedha 2012/2013 kwa kuangalia mafanikio  na changamoto zilizojitokeza kwa kipindi hicho na kuwasilisha bajeti ya mwaka wa fedha 2013/2014.
Shirikisha la Magereza linashughulika na miradi mbalimbali ya kiuchumi ambayo ni  kilimo , mifugo , viwanda vya kutengeneza viatu,sabuni,samani za ofisini na majumbani pamoja na uzalishaji wa chumvi.
Kikao hicho kitarajiwa kufungwa Oktoba 22  mwaka huu na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Bw.John Minja.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video