Friday, October 18, 2013

indexNa lorietha Laurence-Maelezo
Mahakama ya Rufaa Tanzania inatarajia kuanza kusikiliza jumla ya kesi mbalimbali 137 kwa kipindi cha muda wa siku kumi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Naibu Msajili wa mahakama hiyo Bi.Zahara Maruma kwa vyombo vya habari  ilieleza kuwa kesi hizo ni za madai 86 na jinai 51 na za madai 86.
Taarifa hiyo ilifafanua kuwa kesi hizo  zitaanzwa kusikilizwa kuanzia Oktoba 21 mpaka Novemba 1 mwaka huu katika mahakama hiyo na Mahakama Kuu  jijini Dar es laam .

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video