Saturday, October 19, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
MENEJA wa zamani wa Manchester United manager, kibabu, Sir Alex Ferguson amesema hajutii kustaafu mapema mwaka huu kuifundisha klabu hiyo na ana furaha ya kumpatia mbinu za mafanikioa mrithi wake David Moyes.
Ferguson alibwaga manyanga mwishoni mwa msimu huu akiwa kocha mwenye mafanikio makubwa zaidi katika historia ya soka la England.
Katika miaka yake 27 aliyokaa Man United, Mscotish huyo alikuwa tajiri wa kubeba makombe na kwa wakati wote alikuwa kivutio kwa mashabiki wa soka wa England na duniani kote.
Alibeba makombe 13 ya ligi kuu soka nchini England, matano ya FA, Manne ya ligi na mawili ya ligi ya mabingwa baranI Ulaya, UEFA.
Right time: Sir Alex Ferguson says he has no regrets about leaving Manchester United 
Muda mwafaka: Sir Alex Ferguson amesema hajutii kuondoka Manchester United
Bado Ferguson,ambaye amebakia kuwa mkurugenzi na balozi wa United, anatambua kuwa ulikuwa muda mwafaka kwake yeye kukaa pembeni.
‘Maamuzi yangu yalikuwa sahihi, najua ilikuwa kitu cha msingi kwangu kuachia. Najua nilishafanya kazi yangu; alisema mzee huyo wa miaka 71 wakati akihojiana na Daily Telegraph.
‘”Nitakumbuka hili?” Akili yangu ilikuwa “Sitaweza kuacha kazi hii. Muda wangu ulifika. Mafanikio yalikuwa makubwa, kufikiria yaliyotokea kipindi changu haitakiwi. Sahau yaliopita. Hayana maana kwangu”
One way: Ferguson unveils his street sign during a ceremony to mark the changing of the road name to 'Sir Alex Ferguson Way' 
Njia moja: Ferguson alikuwa katika sherehe za kubadilisha jina la barabara na kuitwa `Barabara ya Sir Alex Ferguson` yaani  ‘Sir Alex Ferguson Way’
Worry: It hasn't been the best start to David Moyes' managerial career at United 
Wasiwasi tupu: Haujakuwa mwanzo mzuri kwa kocha David Moyes aliyerithi mikoba ya Ferguson
All-smiles: But the Scot was showing no signs of stress in training with Robin van Persie ahead of the match against Southampton on Saturday 
Tabasamu kubwa: Mscotish huyo hakuonekana kuwa na msongo wa mawazo wakati wa mazoezi akiwa na Robin van Persie kujiandaa na mchezo dhidi ya Southampton jumamosi hii

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video