Naibu
Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mulugo alipokuwa
akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu
mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi Tanzania Bara, ambao unaotarajiwa
kufanyika Septemba 11 na 12 mwaka huu. Kushoto kwake ni Naibu Katibu
Mtendaji Baraza la Mitihani Tanzania Dkt. Charles Msonde.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mulugo
akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana
jijini Dar es Salaam kuhusu mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi Tanzania
Bara, ambao unaotarajiwa kufanyika Septemba 11 na 12 mwaka huu. Kulia
kwake ni Kamishina wa Elimu Tanzania Prof. Eustela Bhalalusesa, kushoto
kwake ni Naibu Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Tanzania Dkt. Charles
Msonde.
Baadhi
ya waandishi wa habari wakiwa katika kutekeleza majukumu yao katika
mkutano na Naibu Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo
Mulugo (hayupo kwenye picha) jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumzia
kuhusu mtihani wa taifa wa darasa la saba, unaotarajiwa kufanyika
Septemba 11 na 12 mwaka huu.
0 comments:
Post a Comment