Mratibu
wa Tamasha la Dar Filamu Festival bw.Starford Kihore (katikati)
akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu
Tamasha hilo litakalofanyika Septemba 24 hadi 26 mwaka huu katika
Viwanja vya Kijitonyama Posta, Kushoto ni muugizaji wa filamu za
kibongo Elizabeth Micheal (Lulu) na kulia ni Mratibu wa Kampuni ya Haak
Neel Prodution, Geofry Katula
Muugizaji
wa Filamu za kibongo Elizabeth Micheal (Lulu) kushoto akifafanua
jambo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu
maandalizi ya Tamasha la Dar Filamu Festival litakalofanyika Septemba 24
hadi 26 mwaka huu Viwanja vya Kijitonyama Posta,Kulia ni Mratibu wa
Tamasha hilo Starford Kihore.(Picha na Lorietha Laurence-Maelezo)
0 comments:
Post a Comment