Thursday, September 26, 2013

 
Mkuu wa wilaya ya Morogoro Said Amanzi kushoto na dereva wa kampuni ya Tasia Hogistic ya jijini Dar es Salaam, Verry Philiph (39) wakikabidhiwa cheti baada ya kupimwa shinikizo la damu na wateknolojia wa maabara wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro, Theodol Babwanga kushoto na Daniel Mwita wakati mkuu huyo alipozindua mpango wa upimaji wa afya kwa madereva wa malori makubwa katika mizani ya Mikese kufuatia kampuni ya TBL kuendesha zoezi la upimaji wa afya kwa madereva wa malori ikiwa kuanza kwa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani ikibeba ujumbe wa “usalama unaanza kwangu kisha kwako na sisi sote” mkoani Morogoro.Wapili kushoto ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL. Steve Kilindo.
 
Mkuu wa Usalama Barabarani Chalinze, Innocent Sule akiwa anazungumzana baadhi ya madereva wa mabasi yanayofanya safari zake kati ya mikoa ya Dar es Salaam na Arusha zoezi lililofanyika katika mizani ya Kiangaiko iliyoko Msata Bagamoyo. Kampuni ya Bia Tanzania TBL, sh mil. 13 kwa uongozi wa Hospitali Teule ya Tumbi kwa lengo la kufanikisha kupima madereva wanaotarajiwa kufikia 800 ikiwa na lengo la kupunguza kama si kumaliza ajali.
Mmoja wa
madereva akichukuliwa vipimo na daktari
 
 Mkuu wa wilaya ya Morogoro Said Amanzi kushoto na dereva wa kampuni ya Tasia Hogistic ya jijini Dar es Salaam, Verry Philiph (39) kulia wakipimwa shinikizo la damu na wateknolojia wa maabara wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro, Theodol Babwanga kushoto na Daniel Mwita wakati mkuu huyo alipozindua mpango wa upimaji wa afya kwa madereva wa malori makubwa katika mizani ya Mikese kufuatia kampuni ya TBL kuendesha zoezi la upimaji wa afya kwa madereva wamalori ikiwa kuanza kwa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani ikibeba ujumbe wa “usalama unaanza kwangu kisha kwako na sisi sote” mkoani Morogoro. Wa tatu kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL. Steve Kilindo.
MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani Ahmed Kipozi (kulia) akizungumza na mmoja wa Daktari wakati alipokwenda kushuhudia zoezi la upimaji afya kwa madereva, makondakta na watu mbalimbali kwenye siku ya kwanza ya wiki ya nenda kwa usalama ambayo imefanyika katika mizani ya Kiangaiko iliyoko maeneo ya Msata Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.Katikati ni Meneja Uhusiano wa TBL,Doris Malulu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video