Tuesday, September 10, 2013

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII

a951379497L

NAFASI ZA AJIRA KWA MADAKTARI, MADAKTARI WA MENO, TABIBU, TABIBU WASAIDIZI NA WATAALAMU WA MAABARA
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, inawatangazia Wahitimu wa taaluma zilizotajwa hapo juu kuwa zipo nafasi za kazi katika Mikoa na Halmashauri zote nchini isipokuwa Mkoa wa Dar es Salaam na Halmashauri zake.
Waombaji wanatakiwa kuambatanisha nyaraka zifuatazo katika maombi yao:-
  1. Vyeti vya Elimu ya Sekondari.
  2. Cheti cha Kuhitimu mafunzo ya taaluma husika.
  3. Kwa wale wanaotakiwa  Kwa mujibu wa sheria  kufanya mafunzo kwa vitendo, wawasilishe cheti cha kuhitimu mafunzo hayo.
Mwisho wa kupokea maombi ni wiki mbili kuanzia tarehe ya tangazo hili kutoka. Aidha, juu ya bahasha iandikwe nafasi inayoombwa.
Barua zote zipitie Posta. Aidha, barua zitakazoletwa kwa mkono hazitopokelewa
Maombi hayo yatumwe kwenye anuani ifuatayo:-
KATIBU MKUU,
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII,
S.L.P. 9083,
DAR ES SALAAM.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video