Sunday, September 29, 2013

 Afsa Mtendaji Mkuu Mfuko wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Bi. Elena Senkoro akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya cheti cha makabidhiano ya nyumba 20 za watumishi wa idara ya afya zilizojengwa Mkoani Rukwa na mfuko huo kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii kwa ufadhili wa Mfuko wa Dunia wa kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria leo tarehe 28 Septemba 20113 katika kijiji cha Chipu pembeni kidogo ya Manispaa ya Sumbawanga. Anaeshuhudia katikati ni Mwenyekiti wa bodi hiyo Dkt. Herman Lupogo.
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizindua rasmi moja ya nyumba 20 za watumishi wa idara ya afya katika kijiji cha Chipu baada ya kukabidhiwa rasmi na taasisi ya Benjamin William Mkapa leo tarehe 28 Septemba 2013.
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akiwa katika picha ya pamoja na mtumishi wa idara ya afya katika zahanati ya Chipu (kulia) ambaye ataishi katika nyumba hii iliyojengwa na mfuko wa taasisi ya Benjamin William Mkapa. Wengine kutoka kushoto ni Mbunge Jimbo la Sumbawanga Mjini Aeshi Hillal, Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Mtumwa Rutengwe na Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Dkt. Herman Lupogo
 Moja ya nyumba 20 zilizojengwa na taasisi hiyo iliyopo Ntendo katika Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa.
 Afisa Mtendaji Mkuu Mfuko wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Bi. Elena Senkoro akielezea miradi mbalimbali ya taasisi hiyo katika kusaidia jamii ya watanzania.
 Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Alhaj Salum Mohammed Chima akitambulisha baadhi ya wageni katika hafla hiyo fupi ya makabidhiano.
 Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe akipanda mti wa kumbukumbu katika hafla hiyo ya makabidhiano.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akipanda mti wa kumbukumbu baada ya makabidhiano ya nyumba 20 zilizojengwa na mfuko wa taasisi ya Benjamin William Mkapa Mkoani Rukwa.
 Mbunge wa Jimbo la Sumbwanga Mjini CCM, Aeshi Hillal akipanda mti wa kumbukumbu.
 Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Mtumwa Rutengwe akimnong’oneza jambo Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya muda mfupi baada ya makabidhiano ya nyumba hizo.
 Picha ya Pamoja.
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akimkabidhi Afsa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Bi. Elena Senkoro  cheti cha shukurani na kutambua mchango wao katika ujenzi wa nyumba 20 za watumishi wa idara ya afya Mkoani Rukwa.
(Na Hamza Temba – Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video