Mbunifu wa mitindo nchini Asia Idarous akizungumza wakati wa uzinduzi wa shindano jipya la wanamitindo linalojulikana kwa jina la Tanzania Top Model uliofanyika jana kwenye mgahawa wa City Sports Lounge jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa mitindo ya mavazi, Kulia ni Jackson Kalikumtima Mkurugenzi wa Kamati ya Tanzania Top Model, na kulia ni Bw. Khamsin.Mkurugenzi wa Kamati ya Tanzania TOP Model Jackson Kalikumtima akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika jana kwenye mgahawa wa City Sports Lounge.Wanamitindo mbalimbali wakipita mbele ya wageni waalikwa wakatik wa uzinduzi huoWanamitindo hao wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi huoWadau wakipata pichaWadau mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huoMC Duble A akifafanua jambo kabla ya Asia Idarous kuzindua shindano hiloBaadhi ya wanakamati wakijitambulishaWadau wakifuatiliaWadau wakifuatilia matukio katika uzinduzi huo
Home
»
»Unlabelled
» SHINDANO JIPYA LA TANZANIA TOP MODEL LAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM
Thursday, September 5, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment