Thursday, September 26, 2013


PAMOJA na kumkosa mchezaji ghali duniani, Gareth Bale, lakini mchezaji anayeliwa mshahara mkubwa zaidi duniani, Cristiano Ronaldo alitosha kuipa pointi tatu Real Madrid usiku huu, baada ya kufunga mabao yote katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Elche. 
Bale atarejea katika mechi ya nyumbani na Atletico Madrid Jumamosi wakati leo Ronaldo, ameendelea kuiweka Real karibu vinara wa La Liga.
Ronaldo alifunga mabnao hayo katika dakika za 51 na dakika ya sita ya muda wa nyongeza baada ya kutimu dakika 90, wakati bao la kufutia machozi la Elche lilifungwa na Richmond Boakye dakika ya pili ya muda wa nyongeza baada ya kutimua dakika 90.
Kikosi cha Elche kilikuwa: Elche: Manu Herrera; Damián, Botía, Lombán, Albácar; Rubén Pérez, Carlos Sánchez; Stevanovic, Coro, Fidel na Boakye.
Real Madrid: Diego López, Pepe, Ramos, Coentrão, Khedira, Ronaldo, Benzema, Arbeloa, Modric, Di María na Isco.
Stolen: Ronaldo celebrates after Madrid grabbed a second goal at the death
Raha: Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Madrid bao la pili
One up: Cristiano Ronaldo celebrates scoring their opening goal with team-mates
Moja zaidi: Cristiano Ronaldo akishangilia na wachezaji wenzake
Put it there: Real Madrid had to cope without world-record signing Gareth Bale at Elche
Weka kule: Real Madrid ilicheza bila mchezaji ghali duniani, Gareth Bale 
Keep away: Elche's defender Botia (left) vies with Real Madrid's French forward Karim Benzema
Beki wa Elche, Botia (kushoto) akikabiliana na mshambuliaji Mfaransa wa Real Madrid, Karim Benzema

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video