Tuesday, September 24, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
HALI tete imezidi kutanda kwa kocha wa Manchester United, David Moyes baada ya mshambuliaji wake chaguo la kwanza,  Robin van Persie kutokuwa fiti kuingia katika kipute cha kesho jioni dhidi ya majogoo wa jiji, klabu ya Liverpool, kombe la Capital One nchini England katika dimba la Old Trafford.
Imefahamika kuwa RVP atakuwa fiti katika mchezo wa mwishoni mwa wiki hii wa ligi kuu dhidi ya West Brom.
Mholanzi huyo anayeibeba United katika safu ya ushambuliaji kwa sasa alipata majeruhi ambayo yalimweka nje ya uwanja katika mechi ya watani wa jadi dhidi ya mahasimu wao Manchester City  dimba la Etihad na alikaa jukwani kushuhudia mashetani wekundu wakinyanyaswa kwa kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 4-1, na wiki hii hajafanya kabisa mazoezi.
RVP alipigwa picha akitoka katika duka la dawa , Alderley Edge akiwa ameshika kiboksi cha dawa na hakwenda kabisa katika uwanja wao wa mazoezi wa Carrington.
Not ready: Robin van Persie has not trained with Manchester United this week and won't play against Liverpool, but he was pictured on Monday popping to the chemists for some athlete's foot cream 
Huyuko tayari: Robin van Persie hajafanya mazoezi na Manchester United wiki hii na hatacheza kesho dhidi ya Liverpool, lakini alipigwa picha jana akiwa na dawa

Not ready: Robin van Persie has not trained with Manchester United this week and won't play against Liverpool, but he was pictured on Monday popping to the chemists for some athlete's foot cream

Bouncing back: David Moyes needs a response from his players in the Capital One Cup tie with Liverpool after the 4-1 humiliation at the hands of Manchester City on Sunday 
Anataka kupoza maumivu: David Moyes anawataka wachezaji wake kuonesha kiwango cha juu dhidi ya Liverpool, Capital One Cup, baada ya kula kipigo cha mbwa mwizi wa dagaa kutoka kwa Manchester City cha mabao 4-1 jumapili
Akizungumzia mechi Moyes amesema: ‘Sidhani kama Robin atacheza dhidi ya Liverpool. Atakuwa na nafasi nzuri ya kucheza siku ya jumamosi”.
Akirejea kipigo cha Etihad jumapili kuelekea mchezi dhidi ya Liverpool, Moyes alisema: “Imepita. Siwezi kufanya chochote juu ya hili. Ilinishitua sana, lakini ukiwa kocha wa muda mrefu kama mimi unatakiwa kushituka na kujipanga”.
Turnaround: Moyes said that the performance at City shocked him but was grateful the Liverpool game came so soon afterwards  
Hali tete: Moyes amesema kiwango cha City kimemshitua sana, lakini ni wakati wa kufikiria mchezo wa kesho dhidi ya Liverpool

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video