Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua Uwanja wa ndani wa
michezo katika Chuo Cha michezo huko Malya,Wilayani Kwimba,Mkoani Mwanza
leo.Wengine katika picha ni Waziri wa Habari na michezo Dkt.Fenela
Mkangara(wapili kushoto),Mbunge wa Sumve Richard Ndassa(wanne
kulia),Mbunge wa Kwimba Mhe.Mansour na kushoto ni Mkuu wa Chuo Cha
Michezo Malya Bwana Allen Alex
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima
wakifunua kitambaa wakati wa uzinduzi wa kituo Kikuu cha Polisi
Wilayani Kimba leo
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira
Silima(kushoto),Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo(watu
kushoto) na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Ernest Mangu(kulia)
wakikata utepe kuzindua rasmi Kituo Kikuu cha Polisi Ngudu,Wilayani
Kwimba leo Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa cheti Dkt.Makori Josephat Maro(0677)
na Nesi Rhoda Joseph Michael(0681) kwa kutambua kitendo cha ujasiri wa
wahudumu hao wa sekta ya Afya kuokoa maisha ya mama mjamzito na mwanaye
mchanga kwa kumuongezea damu yao wenyewe na kumuwezesha kujifungua
salama.Mama huyo akiwa mjamzito alifika hospitalini hapo peke yake akiwa
na damu pungufu.Baada ya kukosa ndugu wenye damu inayoendana na damu ya
mama huyo wahudumu hao walijitolea damu na kumuwezesha mama huyo
kujifungua salama katika hospitali ya Wilaya ya Kwimba.Mbali na vyeti
uongozi wa wilaya ya Kwimba uliwazawadia shilingi laki tano kila
mmoja.Baada ya kuguswa na kitendo hicho Rais Dkt.Jakaya Kikwete
aliwazawadia Dkt.Makori maro na Nesi Rodha Michael shilingi milioni moja
na nusu.
picha na( Freddy Maro)
0 comments:
Post a Comment