Monday, September 9, 2013

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua Uwanja wa ndani wa michezo katika Chuo Cha michezo huko Malya,Wilayani Kwimba,Mkoani Mwanza leo.Wengine katika picha ni Waziri wa Habari na michezo Dkt.Fenela Mkangara(wapili kushoto),Mbunge wa Sumve Richard Ndassa(wanne kulia),Mbunge wa Kwimba Mhe.Mansour na kushoto ni Mkuu wa Chuo Cha Michezo Malya Bwana Allen Alex 0L7C0395 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima wakifunua kitambaa wakati wa uzinduzi wa kituo Kikuu cha Polisi Wilayani Kimba leo 0L7C0411 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima(kushoto),Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo(watu kushoto) na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Ernest Mangu(kulia) wakikata utepe kuzindua rasmi Kituo Kikuu cha Polisi Ngudu,Wilayani Kwimba leo 0L7C0677 0L7C0681Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa cheti Dkt.Makori Josephat Maro(0677) na Nesi Rhoda Joseph Michael(0681) kwa kutambua kitendo cha ujasiri wa wahudumu hao wa sekta ya Afya kuokoa maisha ya mama mjamzito na mwanaye mchanga kwa kumuongezea damu yao wenyewe na kumuwezesha kujifungua salama.Mama huyo akiwa mjamzito alifika hospitalini hapo peke yake akiwa na damu pungufu.Baada ya kukosa ndugu wenye damu inayoendana na damu ya mama huyo wahudumu hao walijitolea damu na kumuwezesha mama huyo kujifungua salama katika hospitali ya Wilaya ya Kwimba.Mbali na vyeti uongozi wa wilaya ya Kwimba uliwazawadia shilingi laki tano kila mmoja.Baada ya kuguswa na kitendo hicho Rais Dkt.Jakaya Kikwete aliwazawadia Dkt.Makori maro na Nesi Rodha Michael shilingi milioni moja na nusu.
picha na( Freddy Maro)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video