Friday, September 27, 2013

Copy of MISS TOURISM TANZANIA 2013
Miss Utalii Tanzania 2013, Hadija Mswaga, anaondoka nchini siku ya Jumanne Tarehe 1-10-2013 kuelekea Equatorial Guinea kuwakilisha Tanzania katika Mashindano ya Dunia ya Miss Tourism World 2013. Atasafiri kwa ndege ya shirika la ndege la Ethiopian Airline.
Katika mshindano hayo yanayoshirikisha nchi 126 duniani kote, na kuoneshwa LIVE katika Televisheni Duniani kote, Miss Utalii Tanzania 2013, anabeba ujumbe wa kutangaza Hifadhi ya Ngorongoro Crater kama moja ya maajabu ya Dunia Afrika.
Akitoa sababu za kuibeba Hifadhi ya ngorongoro katika mashindano hayo, Hadija Mswaga, alisema kuwa mbali ya hifadhi hiyo kuwa ni ya kipekee duniani, lakini ndiyo hifadhi ambayo chimbuko la binadamu wa kwanza kuishi duniani, pia hifadhi hiyo ndio kitovu cha hifadhi ya faru nchini, mbali ya kuwa ndiyo hifadhi pekee duniani ambako binadamu na wanyama wanaishi na kushirikiana maisha ya kila siku bila ya kudhuriana.
Wakati sasa umefika tena wakati sahihi kwa hifadhi ya ngorongoro kuwa hifadhi kiongozi kwa umaarufu ,pato la utalii na kutembelewa na watalii wengi zaidi duniani alisema hadija.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video