Monday, September 16, 2013

Pix 1 Pix 2Mkimbiza  Mwenge namba moja katika manispaa ya Lindi Mke wa Rais ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Mama Salma Kikwete akiimba wimbo wa kuusifia  Mwenge wa Uhuru (Tumeuwasha mwenge wetu na uhuru na kuuweka juu ya mlima Kilimanjaro) wakati wa  halfa ya chakula cha usiku iliyofanyika hivi karibuni huko  mnazi mmoja  kwa ajili ya kuwaaga wakimbiza Mwenge huo ambao walikuwa wamaelekea Mkoani Mtwara. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa lindi Ludovick Mwananzila na kulia ni kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Taifa Juma Ali Simai. Pix 3Mkimbiza  Mwenge namba moja katika manispaa ya Lindi Mke wa Rais ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Mama Salma Kikwete akiangalia mojawapo ya vyeti walivyokabidhiwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa wakati wa halfa ya  chakula cha usiku ya kuwaga na kuwashukuru wakimbiza Mwenge hao iliyofanyika hivi karibuni huko  mnazi mmoja Mkoani Lindi. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo  Ludovick Mwananzila na kulia ni kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Taifa Juma Ali Simai na akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya Lindi Dk.Mohamed Nassoro. Pix 4Mkimbiza  Mwenge namba moja katika manispaa ya Lindi Mke wa Rais ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Mama Salma Kikwete akimkabidhi cheti cha kushiriki kukimbiza Mwenge wa Uhuru katika mkoa wa Lindi Lt.Lubinga kutoka Iringa   katika  halfa ya  chakula cha usiku kwa ajili ya  kuwaga na kuwashukuru wakimbiza Mwenge hao iliyofanyika hivi karibuni huko Mnazi mmoja Mkoani Lindi. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo  Ludovick Mwananzila na kulia ni kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Taifa Juma Ali Simai akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Lindi Dk.Mohamed Nassoro Pix 5Mkimbiza  Mwenge namba moja katika manispaa ya Lindi Mke wa Rais ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Mama Salma Kikwete akimkabidhi cheti cha kushiriki kukimbiza Mwenge wa Uhuru katika mkoa wa Lindi Lt.Zuwena Abdallah    wakati wa  halfa ya  chakula cha usiku kwa ajili ya  kuwaga na kuwashukuru wakimbiza Mwenge hao iliyofanyika Mnazi mmoja Mkoani humo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa lindi Ludovick Mwananzila na kulia ni kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Taifa Juma Ali Simai akifuatiwa na  Mkuu wa Wilaya ya Lindi Dk.Mohamed Nassoro. Pix 6 
Mkimbiza  Mwenge namba moja katika manispaa ya Lindi Mke wa Rais ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) Mama Salma Kikwete akimkabidhi cheti cha kushiriki kukimbiza Mwenge wa Uhuru katika mkoa wa Lindi Juma Ali Simai ambaye ndiye Kiongozi wa mbio hizo  kitaifa   katika  halfa ya  chakula cha usiku kwa ajili ya  kuwaga na kuwashukuru wakimbiza Mwenge hao iliyofanyika hivi karibuni huko Mnazi mmoja Mkoani humo.
(Picha na Lorietha Laurence-Maelezo)

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video