Saturday, September 28, 2013

KLABU ya Manchester United imefungwa kwa mara ya kwanza na West Brom Uwanja wa Old Trafford tangu 1978 baada ya kulala 2-1 jioni hii.
Mabao ya Morgan Amalfitano dakika ya 54 na Saido Berahino dakika ya 67 wa WBA na Wayne Rooney wa United dakika ya 57 yalitosha kutengeneza matokeo ya leo.
Kikosi cha United kilikuwa: De Gea, Jones, Ferdinand, Evans, Buttner, Nani, Carrick, Anderson/Fellaini dk67, Kagawa/Januzaj dk46, Rooney, Hernandez/Van Persiedk 58.
West Brom: Myhill, Jones, McAuley, Olsson, Ridgewell, Yacob, Mulumbu, Amalfitano, Sessegnon/Rosenberg dk90, Sinclair/Berahino dk13, Anichebe/Lugano. 
Wonderkid: Saido Berahino celebrates scoring West Brom's second goal against Manchester United
Dogo hatari: Saido Berahino akishangilia baada ya kuifungia West Brom bao la pili dhidi ya Manchester United
Shocker: West Brom run off to celebrate with Berahino after his 67th -minute winner
Mshituko: West Brom wakishangilia bao na Berahino baada ya kufunga katika dakika ya67
Can't believe it: Rooney looks on with shock as United drop out of the top ten in the Premier League
Haamini kilichotokea: Rooney akiwa na mshituko mkubwa baada ya Man United kutoka nje ya timu 10 katika msimamo wa ligi kuu soka nchini England
Toppled: Manchester United's players including goalkeeper David De Gea stand dejected
Wazee hii balaa: Wachezaji wa Manchester United akiwemo David De Gea wakiwa wamekata tamaa
Katika mechi nyingine kubwa la, bao la Nahodha John Terry dakika ya 65 limeinusuru Chelsea kulala mbele ya Tottenham baada ya sare ya 1-1.
Timu zote zinafundishwa na makocha Wareno, Andre Villas-Boas wa Spurs na Jose Mourinho wa Chelsea.
Tottenham ilitawaa kipindi cha kwanza na kupata bao la kuongoza kupitia kwa Gylfi Sigurdsson dakika ya 20.
Kikosi cha Spurs kilikuwa: Lloris, Walker, Dawson, Vertonghen, Naughton, Paulinho, Dembele, Townsend/Chadli dk62, Eriksen/Holtby dk69, Sigurdsson, Soldado/Defoe dk76.
Chelsea: Cech, Ivanovic, Luiz, Terry, Cole, Mikel/Mata dk46, Lampard, Ramires, Oscar/Azpilicueta dk82, Hazard/Schurrle dk69, Torres.
Leveller: John Terry celebrates after heading home the equalising goal to earn Chelsea a share of the spoilsLa kusawazisha: John Terry ishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha
Head boy: Terry nodded in Juan Mata's free kick to cancel out Gylfi Sigurdsson's opener for TottenhamKichwa: Terry akipiga kichwa kuunganisha mpira wa adhabu wa Juan Mata
Opener: Gylfi Sigurdsson slides home the first goal of the game as Tottenham take the lead over ChelseaLa kwanza: Gylfi Sigurdsson akiteleza kufunga bao la kuongoza la Tottenham 
Main man: Sigurdsson peels away to celebrate with team-mates after opening the scoring at White Hart LaneMtu muhimu: Sigurdsson akiondoka kushangilia baada ya kufunga Uwanja wa White Hart Lane
Chelsea's Spanish striker Fernando Torres is shown the red card
Nyekundu ya Torres, nje
MATOKEO YA MECHI HIZO, LAKINI SWANSEA NA ARSENAL BADO WAKO UWANJANI
England: Premier League


Finished
Tottenham
Chelsea
(1-0)





Finished
Southampton
Crystal Palace
(0-0)





Finished
Manchester United
West Bromwich Albion
(0-0)





Finished
Hull
West Ham
(1-0)





Finished
Fulham
Cardiff
(1-1)





Finished
Aston Villa
Manchester City

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video