Monday, September 2, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
MABINGWA wa ligi kuu soka nchini England, Manchester United dakika hizi za mwisho mwisho, wamegeukia kwa nguvu saini ya  Ander Herrera wa Athletic Bilbao ambaye hapo jana alikaa benchi katika mechi dhidi ya  Real Madrid. 
Mara zote, Herrera amekuwa akianza kikosi cha kwanza cha Bilbao, lakini  kocha wake Ernesto Valverde amesisitiza  kuwa kiungo huyo hajaomba kuondoka klabuni hapo.
Akiongea na waandishi wa habari  baada ya mechi ya jana,Valverde alisema: “Sihitaji kuwa na wasiwasi kuhusu hali ya  Herrera, hajaomba kuondoka”.
Shock: Ander Herrara didn't come off the bench for Athletic Bilbao against Real MadridMshituko: Ander Herrara alikaa benchi dakika zote katika mchezo wa  Athletic Bilbao dhidi ya Real Madrid
“Naamni hakuna kitakachotoke kesho (leo jumatatu). Mambo yamekwenda vizuri toka mwanzo. Sidhani kama nahitaji kuongea na mchezaji (kumshawishi abakie)”.
“Ni mchezaji muhimu kwetu. Maamuzi yangu ya leo (jana) hayahusiani na ofa yoyote”. Alisema kocha huyo.’
Kiungo huyo raia wa Hispania alihusishwa na ofa ya pauni milioni 25 kutoka Manchester United jioni ya alhamisi ya wiki iliyopita.
Spanish talent: Herrara, with former Tottenham midfielder Luka Modric (above, right) is usually a regular in La LigaMhispania mwenye kipaji: Herrara, akipambana na kiungo wa zamani wa  Tottenham,  Luka Modric (juu, kulia) amekuwa muhimu sana La Liga
Tricky summer: David Moyes (above) has struggled to bring in a midfielder so far, but is still interested in Marouane Fellaini (below)Mtego wa kiangazi: David Moyes (juu) amepiga juhudi kubwa kuleta kiungo, lakini bado anavutiwa na  Marouane Fellaini (chini)
Tricky summer: David Moyes (above) has struggled to bring in a midfielder so far, but is still interested in Marouane Fellaini (below)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video