Wednesday, September 25, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
KWA mara ya kwanaza, Neymar na Lionel Messi wameanza kazi pamoja hapo jana baada ya wote kufunga katika mechi moja dhidi ya  Real Sociedad ya La liga tika dimba lao la Nou Camp na kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1.
Barcelona wameendelea kufanya vizuri katika harakati zao za kutetea ubingwa wao msimu huu,  huku Neymar akifunga bao lake la kwanza La Liga wakati mkali Messi akijipigia la saba msimu huu.
Lionel Messi  
Wakali wawili: Lionel Messi akishangilia bao lake ambalo lilitengenezwa na Mbarazil Neymar

Neymar  
La kwanza kati ya mengi yajayo: Neymar akishangilia bao lake kwa kwanza katika ligi ya La Liga
 Kikosi chaBarcelona: Valdes; Alves, Pique, Mascherano, Adriano; Busquets, Xavi, Iniesta; Sanchez, Messi, Neymar
Waliofunga mabao: Neymar 5, Messi 8, Busquets 23, Bartra 77

Kikosi cha Real Sociedad: Bravo; Estrada, Cadamuro, Martinez, De la Bella; Bergara, Ros, Prieto, Sangalli; Seferovic, Griezmann
Aliyefunga bao: De la Bella 64

 Barcelona na Atletico Madrid ni timu zenye ushindi wa asilimia 100 baada ya kushinda mechi zote sita kati ya sita msimu huu.
Neymar  
Kijana kutoka Brazil: Neymar akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao lake la kwanza La Liga
Sergio Busquets 
Kijana Mrefu: Sergio Busquets (katikati) akipewa tano na wakali wenzake baada ya kutundika kitu cha tatu kimiani
 Lionel Messi  
Lionel Messi akishughulisha msitu wa Sociedad
Marc Bartra  
Risasi ya mwisho: Mlinzi wa Barca  Marc Bartra (wapili kushoto) akikamilisha safari ya ushindi wa mabao 4-1
MATOKEO KWA UJUMLA YALIKUWA
Spain: LIGA BBVA

Finished
Espanyol
Athletic Bilbao
(1-1)




Finished
Barcelona
Real Sociedad
(3-0)




Finished
Levante
Valladolid
(1-1)




Finished
Malaga
Almeria
(0-0)




Finished
Atletico Madrid
Osasuna
(2-1)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video