Mkurugenzi
wa Biashara wa klabu ya Sunderland, Bw. Gary Hutchinson (wapili
kushoto) akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu
hatua ya mazungumzo waliyofikia kujenga kituo cha michezo katika
Manispaa ya Ilala ambayo itakuwa chimbuko la kuinua mchezo wa mpira wa
miguu. (wakwanza kulia) ni Mkurugenzi wa Michezo Nchini Bw.leonard
Tadeo, (wapili kulia) Mkurugenzi wa Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii
Tanzania (TTB) Dk. Aloyce Nzuki, (wakwanza kushoto) ni Mwakilishi wa
klabu ya Sunderland Tanzania,Bw Edmund Hazzad. Mkurugenzi wa Biashara wa klabu ya Sunderland Bw Gary Hutchinson, (kushoto) akimkabidhi
mkurugenzi wa wizara ya Habari, Vijana, utamaduni na michezo Bw.
Leonard Tadeo jezi ambayo imesainiwa na wachezaji wa sunderland
Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Dk. Aloyce Nzuki (kulia)
akimkabidhi Mkurugenzi wa Biashara wa klabu ya Sunderland, Bw Gary
Hutchinson, Tisheti ya Bodi ya Utalii.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali walioudhuria kwenye mkutano huo.
Picha Philemon Solomon wa Fullshangwe Dar es salaam
0 comments:
Post a Comment