Monday, September 9, 2013


Wakazi wa Mwambao wa Ziwa Tanganyika  Kata ya Ikola wakiwa katika harakati za maisha hapa wanaonekana baadhi ya akina mama na watoto  wakifua nguo wengine kuchota maji kwa ajili ya  matumizi ya nyumbani na wengine,  kuosha vyombo,  wengine wakioga kwa pembeni na wengine kuendelea na shughuli  zao za  kimaisha maadamu maisha yanaendelea bila kujari ya Afya zao au hali yeyote inayoweza kuwapata hususani mlipuko wa magonjwa yanayotokana na matumizi ya maji machafu kama hayo kwa wengine wanajisaidia vichakani pembezoni mwa ziwa kwa kuwa desturi ya wakazi wa mwambao wa ziwa hawana utamaduni wa kutumia vyoo.. SHIDA YA KIVUKO 
Suala la usafiri kwa baadhi ya maeneo hapa nchi bado ni changamoto ambayo inatakiwa ipewe umuhimu na kipaumbele cha kipekee na mamlaka husika kama inavyoonekana kwa wakazi hawa wa kijiji cha Itunya Kata ya Kapalamsenga Wilayani Mpanda Wakivuka Mto unaotenganisha maeneo ya  Kijiji cha jirani cha Itunya na Kijiji cha Kapalamsenga daraja hilo ni la miti lililotengenezwa na wananchi wenyewe bila msaada wowote wa wataalamu.Jambo ambalo ni hatari kwa wakazi hao wakati wowote linaweza kuleta madhara hapa watalaam kutoka Halmashauri ya wilaya ya Mpanda wamefika kujionea na kushuhudia namna wananchi wanavyopata shubiri ya usafiri hasa suala la kivuko ambacho hakina ubora kwa watumiaji kazi kweliwekili miaka zaidi ya hamsini ya uhuru mambo bado ya Ujima.
(Picha zote na Kibada Kibada)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video