Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya isiyo ya kiserikali inayoshughulikia masuala ya
haki za kisheria ,maendeleo ya jamii na kiuchumi(DOLASED), Gidion
Mandesi(kulia) akifafanua Sheria ya Watu Wenye Ulemavu namba 55(1) ya
mwaka 2010 inayohusu vyombo vya habari hususan televisheni vinavyotakiwa
kuweka wakalimani kwa ajili ya taarifa ya habari na matukio mengine ya
kitaifa ili viziwi waweze kupata taarifa katika ukumbi wa Idara ya
Habari –MAELEZO leo kwa kutumia maandishi ya nukta nundu.kulia ni
mwandishi wa habari wa gazeti la majira , David John. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya isiyo ya kiserikali inayoshughulikia masuala ya haki za
kisheria ,maendeleo ya jamii na kiuchumi(DOLASED)Gidion
Mandesi(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu haki mradi wa
haki za walemavu katika ukumbi wa Idara ya Habari –MAELEZO leo.Kushoto
ni Mkurugenzi Msaidizi wa MAELEZO,Vincent Tiganya na kulia ni Afisa
Mipango wa DOLASED Risala Msemo.
Afisa
Mipango Taasisi ya isiyo ya kiserikali inayoshughulikia masuala ya
haki za kisheria ,maendeleo ya jamii na kiuchumi(DOLASED), Risala Msemo
akifafanua jambo kuhusu mradi wa haki za kisheria kwa watu wenye
ulemavu katika ukumbi wa Idara ya Habari –MAELEZO. Kulia ni Mkurugenzi
Mtendaji wa DOLASED Gidion Mandesi.
Picha zote na Magreth Kinabo-Maelezo
0 comments:
Post a Comment