Wednesday, September 18, 2013

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa(katikati) akigonganisha vikombe na wanafunzi wa shule ya msingi Kerege Bagamoyo pamoja na Raisi wa Daressalaam Rotary Club,mwenye miwani bi Nadine Atallah kama ishara ya kufurahia huduma ya maji safi katika shule hiyo. Klabu hiyo ndio imeligharamia mradi huo. PIC O2 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa (wa tatu kushoto) akikata kamba kama ishara ya uzinduzi wa mradi wa maji safi ya kunywa katika shule ya msingi Kerege Bagamoyo PIC3 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa(katikati) akinywa maji mara tu baada ya kuzindua mradi wa maji safi ya kunywa katika shule ya msingi Kerege Bagamoyo, kushoto ni Raisi wa Daressalaam Rotary Club bi Nadine Atallah. Klabu hiyo ndo wadhamini wa Mradi huo. Wengine ni wanafunzi wa Shule hiyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video