Thursday, September 12, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
NYOTA wa zamani wa Brazil, Roberto Carlos ameonya kuwa mshambuliaji mpya wa klabu ya Chelsea,  Samuel Eto’o anaweza kuwa chanzo cha matatizo katika chumba cha kuvalia nguo klabuni hapo.
Mkurugenzi huyo wa zamani Anzhi Makhachkala amesema nyota huyo raia wa Cameroon alikuwa anaingilia kazi zake wakiwa wote nchini Urusi mpaka ikafika wakati akafikiria kuondoka.
Mwaka 2011, Carlos alikuwepo  Anzhi na alishawishi dili la kumnunua Eto’o kutoka  Inter Milan, na kumuweka kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi ulimwengu wa soka.
Warning: Roberto Carlos (below), who was team director at Anzhi, said new Chelsea signing Samuel Eto'o was a 'damaging' influence on the club 
Onyo: Roberto Carlos (chini), aliyekuwa mkurugenzi wa timu ya  Anzhi, amesema mchezaji mpya wa Chelsea Samuel Eto’o alikuwa chanzo cha kuharibiki katika klabu yake ya zamani

Warning: Roberto Carlos (below), who was team director at Anzhi, said new Chelsea signing Samuel Eto'o was a 'damaging' influence on the club 
Baada ya kufunga mabao 36 katika mechi 71, Eto’o amejiunga na Chelsea kwa uhamisho wa bure majira ya kiangazi mwaka huu na anaweza kucheza kwa mara ya kwanza jumamosi ya wiki hii dhidi ya Everton.
Lakini katika mahojiano na gazeti la Globo, Carlos ameeleza kukatishwa tamaa kwa kile ambaco  Eto’o alichangia wakati akiwa Anzhi.
Alisema: ‘Namjua Eto’o tangu nikiwa na miaka 16, na kutoka muda ule amekuwa mtu mzuri ambaye nampenda sana”.
‘Ni mtu mzuri, lakini kuna baadhi ya mambo nadhani huwa anakuwa chanzo cha matatizo”.
‘Badala ya kucheza mpira, mchezaji anaingilia masuala ya usajili na kutaka kusajiliwa kwa rafiki zake…kiukweli inachanganya na kuwa ajabu”
‘Alifanya kila kitu akiwa Anzhi, isipokuwa kucheza mpira.’
New arrival: Eto'o moved to Chelsea on a free at the end of the transfer window as Anzhi sold their star assets  
Ujio mpya: Eto’o alijunga na  Chelsea kwa uhamisho wa bure katika majira ya kiangazi mwaka huu baada ya klabu ya  Anzhi kuamua kuwauza wachezaji wake ghali
Akirejea uhusiano wao uliovunjika baadaye, Carlos aliongeza: ‘Nilijiunga na klabu na kwa mara yangu ya kwanza tulimaliza ligi tukiwa tano bora”.
‘Tuliweza kuiweka klabu katika soka la kisasa na kitaalamu. Mwaka wa pili tulimsajili Eto’o na niliitawala timu na kuwaunganisha wachezaji na kufanya kazi vizuri na kocha. Niliiweka Anzhi kuwa miongoni mwa timu bora”.
You've been warned: Jose Mourinho should have more success in keeping Eto'o in line  
Umeonya : Jose Mourinho anaweza kumuweka Eto’o katika mstari wa mafanikio

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video