Monday, September 2, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
LICHA ya kuwa mchezaji ghali kuliko wote duniani, Gareth Bale  ametambua na kuweka wazi kuwa Cristiano Ronaldo  ndiye “Bosi” katika klabu ya  Real Madrid.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka  24-ametangazwa kuwa mchezaji wa  Bernabeu leo asubuhi kwa ada ya uhamisho iliyovunja rekodi ya dunia ya pauni milioni 86 akitoka klabu ya Tottenham.
“Cristiano kwangu mimi ni mchezaji bora wa dunia na yeye ndio sababu ya mimi kufanya maamuzi ya kujiunga hapa”. Alisema Bale.
“Sidhani kama nahitaji kumsaidia Cristiano kuwa mcheza bora wa dunia kwa sababu ameshakuwa tayari”
Smile: Gareth Bale was unveiled as a Tottenham player on MondayTabasamu: Gareth Bale  ametangazwa leo kuwa mchezaji wa Real Madrid
Kidding the badge: Bale wasted no time in winning over the Madrid fansAkibusu jezi: Bale  hakupoteza muda kuwaonesha mashabiki wa  Madrid kuwa ni mtu wa ushindi
Boss: Bale does, however, realise Ronaldo is the main man at the BernabeuBosi wa ukweli: Bale amesema licha ya yeye kuwa ghali zaidi, bado anatambua kuwa Ronaldo ndio mtu muhimu zaidi Bernabeu 
Turnout: Thousands of Madrid supporters watched Bale's unveilingSi mchezo: Maelfu ya mashabiki wa Madrid wamemtazama Bale akitambulishwa
BaleNyomi iliyojitokeza kushuhudia nyota huyo akitambulishwa rasmi

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video