Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) Iringa Mhadhamu Owdenburg Mdegela
(kulia) akisalimiana na Mkurugenzi wa Habari Assah Mwambene (kushoto)
leo alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam. (Picha na
Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) Mkoa wa Iringa Mhadhamu Owdenburg
Mdegela (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Habari
(MAELEZO) Assah Mwambene ofisini kwake alipotembelewa jijini Dar es
Salaam. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).,
0 comments:
Post a Comment