Saturday, August 17, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
KILA mtu anakumbuka mwezi Disemba mwaka jana ambapo mchezaji wa Swansea City,  Ashley Williams alimfanyia rafu mbaya mashambuliaji wa Manchester United Robin Van Persie baada ya kucheza mpira kichwani kwa Mholanzi huyo.
Kocha Sir Alexxz Fergusons alimshutumu kuwa alitaka kumuua ARV, Sasa leo hii wawili hao wanakutana tena  muda mfupi ujao katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu England ambapo Swansea wanawakaribisha United katika dimba lao la Liberty Stadium.
Katika mchezo huo wa mwaka jana timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Ferguson aligeuka mbogo kutokana na nyota wake kufanyiwa kitu mbaya, lakini Williams alikiri na kusema ilikuwa ajali tu ya uwanjani na hakukusudia.
Angry: Van Persie and Williams clash after the incident during the 1-1 draw at the Liberty Stadium last DecemberHasira: Van Persie na Williams walizozana sana katika mchezo wa sare ya  1-1  dimba la  Liberty Stadium lmwezi disemba mwaka jana
Lakini Williams amesisitiza kuwa katika mchezo wa leo ataangalia zaidi kazi yake na watakapokutana na Robin Van Persie hatatishika na nyota huyo wa United.
Williams amesema: ‘Robin ni mchezaji mkubwa na ndio maana natakiwa kumkaba vizuri – siku zote napenda kucheza na wachezaji wa bora zaidi na kujaribu kuwanyamazisha.’
Accident: Williams insists that he did not intend to hit Van Persie with the ball
Ajali: Williams amesisitiza kuwa hakukusudia kumchezea vibaya Van Persie 
Danger man: Van Persie scored a double in United's 2-0 win over Wigan in the Community Shield
Mtu hatari: Van Persie alifunga mabao yote mawili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya  Wigan na kutwaa kombe la ngao ya Hisani

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video