Tuesday, August 6, 2013

 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya (katikati) akikagua mfumo wa umwagiliaji bustani za mbogamboga katika maonesho yanayoendelea ya nanenane kanda ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya.  
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akipokea maelezo kutoka kwa wataalam wa Chuo cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) juu ya gari iliyotengenezewa mfumo wa nishati ya gesi katika maonesho ya nanenane kanda ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akikagua bidhaa mbalimbali kwenye banda la Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi katika maonesho ya nanenane kanda ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya. Mkuu huyo wa Mkoa ameridhishwa na vifungashio vingi vilivyotumika katika maonesho hayo mwaka huu na wajasiriamali wa Mkoa wa Rukwa.
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akiangalia “shamba jiko” ambalo staili yake ni ya kupanda mbogamboga nyumbani katika eneo dogo kwenye maonesho ya nanenane kanda ya nyanda za juu kusini jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akikagua maji aina ya Dew Drop, maji pekee yanayotengenezwa Mkoani Rukwa Mjini Sumbawanga na Mjasiriamali wa ndani, maji ambayo wananchi na wadau wengi wanasifia ubora wake kuwa ni ya kiwango cha juu. Kushoto ni Katibu Tawala Mkoa huo Alhaj Salum Mohammed Chima.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video