Wednesday, August 7, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Hatimaye mshambuliaji wa Liverpool anayesemwa sana katika majira haya ya kiangazi, Luis Suarez amevunja ukimya na kusema anataka kuihama klabu yake huku akiwatuhumu viongozi wake kuwa wameshindwa kutimiza ahadi waliyokubaliana.
Baadaya maneno mengi kuzungumzwa, mshambuliaji huyo raia wa Uruguay amewaambia viongozi wake kwamba anataka kujiunga na timu itakayocheza ligi ya mabingwa barani Ulaya, huku Asernal ikiwa ni klabu pekee iliyotuma ofa mpaka sasa na ina nafasi anayoitaka.
Suarez anajiandaa kuwasilisha barua ya kuomba kuondoka mwishoni mwa wiki hii ili kufanikisha ndoto zake, huku akiweka wazi kuwa anaungwa mkono na PFA na anajiandaa kuishitaki klabu yake katika bodi ya ligi kuu England ili imsaidie kujiunga na vijana wa Emirates.
On the ball: Luis Suarez has told Liverpool that he wants to leave after accusing the club of failing to keep their promiseAkiwa na mpira: Suarez ameiambia Liverpool kuwa anataka kuondoka baada ya klabu kushindwa kuheshimu ahadi yao
Suarez mwenye umri wa miaka 26 angekuwa amejiunga na Juventus msimu uliopita, lakini aliamua kuiheshimu klabu yake ya Liverpool na iliwekwa wazi kuwa endapo Liverpool ingeshindwa kufuzu kucheza ligi ya mabingwa ndani ya msimu wa kwanza wa kocha  Brendan Rodgers angeruhusiwa kuondoka.
“Msimu uliopita nilijitahidi kwa kila namna kuisaidia klabu yangi ili imalize katika nafasi nne za jii, kwa sasa ninachohitaji wa Liverpool ni kufuata makubaliano yetu”. Alisema Suarez.
Ruled out: Luis Suarez will not play against Valerenga after being ruled out with an injuryNje: Luis Suarez  atashindwa kuikabili Valerenga kutokana na kuwa majeruhi

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video